BREAKING NEWS: RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WA WAKUU WA MIKOA, WILAYA NA WAKURUGENZI.

 AMTEUA CHONGORO KUWA MKUU WA MKOA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mabasi Yaendayo Haraka (UDART).





Comments